BREAKING NEWS  MABADILIKO BARAZA LA MAWAZIRI

- Hakuna Mabadiliko Ofisi ya Rais
- Ofisi ya Makamu Wa Rais - Naibu Waziri Kitwanga amehamishwa na nafasi yake imejazwa na Mhe. Ali Mwalimu

- Mwigulu Nchemba amekuwa Naibu Wizara ya Fedha (Sera). Aliyekuwa nafasi hiyo sasa ni Waziri Kamili 


- Uchumi na Mapato sasa anatoka Janet Mbene na inajazwa na Adam Malima 


- Asharose Migiro sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria


- Ulinzi na Kujenga Taifa => Hussein Mwinyi 


- Mambo ya Ndani - Mathias Chikawe


- Afya na Ustawi wa Jamii - Naibu wake sasa ni Waziri Kamili; naibu wa sasa ni Dr. Kebwe S. Kebwe 


- Mulugo ameondoshwa rasmi serikalini. Nafasi yake imejazwa na Jenista Muhagama 


- Pindi chana amejaza nafasi ya Ummi Mwalimu - Jinsia na watoto


- Mifugo na Maendeleo ya Mifugo - Titus Kamani atakuwa Waziri mpya. Naibu ni Telele na hivyo Wizara nzima imepata mawaziri wapya


- Ole Medeye OUT - Simbachawene kachukua nafasi yake (Naibu wa Prof. Tibaijuka)


- Naibu Kilimo - Zambi


- Habari - Naibu ni Juma Nkamia


- Nyalandu amekuwa Waziri Kamili. Naibu ni Mahmood Hassan Mgimwa 


- Muhongo na Naibu wake wamebakizwa. Nishati atachukua Charles Kitwagwa akiichukua toka kwa Simbachawene.

0 comments:

 
Top