Siku chache tu zimepita tangu serikali kuyafungia magazeti pendwa mawili Mwananchi na Mtanzania hili ni pigo kubwa sana kwa wapenzi wa magazeti haya pamoja na wadau wa habari.Nikiwa miongoni mwa waathiriwa napenda kujadili nanyi pamoja kwamba article 18 ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ilimaanisha nini kusema kila mtu anao uhuru wa  kuzungumza,kutafuta habari,kisambaza nakujuzwa na vyombo vya habari bila kujali mipaka ya nchi?
Next
Newer Post
Previous
This is the last post.

1 comments:

Unknown said... 30 September 2013 at 04:55

hiki ni kizungumkuti katiba ijayo iwe suluhisho

 
Top